Search This Blog

Saturday, July 4, 2015

Kwa nini wamloga ndugu, rafiki, jirani,mfanyakazi mwenzako, mwanasiasa mwenzako?

Watu wanalogana kwa sababu za husuda, chuki, wivu na tamaa, mpaka wanasababisha madhara miongoni mwao wengine wanaua Albino kwa imani za kichawi, wanaua watoto wao na ndugu zao kama kafara, lakini mwisho wao unakuwa mbaya hapa hapa na baada ya kufa watapata adhabu ya Mungu muumba wa pekee wasipotubu na kuacha mara moja tabia hizi chafu.

Magonjwa yasiyoonekana kwa vifaa vya kisayansi

  • Kulogwa na kuwa na majini mwilini
  • Kuwa kichaa kwa sababu ya kulogwa
  • Kupotea mimba na hili hali ilikuwa inacheza na wala si kuharibika
  • Mimba kutoka mara kwa mara
  • Kuingiliwa na kufanya tendo la ndoa usingizini na watu au wanyama
  • Kuhisi kitu kinacheza tumboni na kuhama kwa mwanaume au mwanamke asiye na mimba
  • Kuota unakula vitu usiku au unalishwa
  • Ndoto za kutisha usingizini mpaka kuamka moyo unadunda
  • Usiku kusikia watu wanakuita au wanatembea kwenye nyumba yako
  • Kuona mtoto unawaka chumbani na wala hujawasha umeme wala hakuna radi ya mvua
  • Kuchanjwa mwili na mikwaruzo kila mara ukiamka asubuhi
  • Kuingia hedhini kusikoisha wala kukoma yaani mfululizo kama mwezi au zaidi
  • Kutingishika viungo vya mwili na kuhisi moto baadhi ya viungo
  • Kupata ganzi sehemu za viungo
  • Kujihisi huna hali ya kuishi na kutamani kufa au kujaribu kujiua
  • Kuitwa jina lako na mtu haonekani
  • Kutetemeka mkono au kiungo chochote
  • Kugongwa kichwa upande mmoja
  • Kuchukia mke wako au mme bila sababu ya msingi
  • Kuona umbo sura ya mme au mke wako ya ajabu na unachukia hata kuongea naye
  • Kugombana na marafiki mpaka kila mtu anaona wewe haufai kabisa na wanakuchukia bila sababu
  • Ajali za mara kwa mara na kuponea chupu chupu
  • Macho kushindwa kuona kazini au darasani lakini ukitoka unaona vizuri
  • Kusinzia wakati wa ibada na wakati wa vikao umuhimu
  • Kuchukiwa na bosi na wafanyakazi wenzako na ili hali ni mchapakazi na unajitahidi sana
  • Kupenda maasi na kuona ya kawaida kama zinaa, pombe, madawa ya kulevya
  • Kutoshiba hata kama hauna minyoo, unapenda kila saa ule kwani njaa inakuwa kama ugonjwa
  • Ukipata kazi hufanyi na haupendi
  • Biashara ukipata pesa na faida matatizo yanaingia kwa kasi na pesa ikiisha basi
  • Ukipata mshahara hali inakuwa ngumu na mikasa inafuatana kiasi kwamba unahisi kuchanganyikiwa
  • Kuhairisha mipango mizuri bila sababu mpaka unazeeka unasema ningefanya ningefanikiwa lakini umechelewa
  • Mwanamke kukauka sehemu za siri mpaka mke anachubuka na mme wanapokuwa wako kwenye tendo la ndoa
  • Kutoa harufu sehemu za siri na hata kama ni msafi
  • kupata kinyesi kigumu kama cha Mbuzi hata ukinywa maji mengi na kula matunda.
Kama umepima hospitali na hakuna matokeo wala chanzo na unaendelea kuumwa basi inaweza kuwa majini, uchawi na aina ya mapepo yaliyo kuvaa yenyewe au kutumwa kwa wanadamu wabaya wenye husuda na wivu dhidi ya ndugu au rafiki anapofanikiwa kwa hali moja au nyingine.

Dawa nyingine za kunywa ni hizi:

Madawa haya yanatokana na mitishamba mbali mbali ya Africa na Mashariki ya Kati na yanatibu magonjwa mengi unayo yajua na yale usiyojua. Madawa haya ni unga umesagwa na ni rahisi kutumia kwenye maji moto au asali na hakuna kemikali yoyote. Powerful oil ni mafuta yenye uwezo mkubwa wa kufukuza na kuzuia nguvu za giza za aina zote.



 MADAWA HAYA KWA MAJINA NI:
  1. POWERFUL OIL
  2. MT32
  3. SAFISHA
MADAWA HAYA YA ASILI NA HAYANA KEMIKALI YOYOTE NA MADAWA YENYE UWEZO MKUBWA ALIOWEKA MWENYEZIMUNGU KATIKA TIBA MBALI MBALI KWANI YAMEFANYIWA UTAFITI WA MUDA MREFU NA NI MITISHAMBA ZAIDI YA 30 IMECHANGANYWA, MAFUTA HAYO YANA NGUVU KUBWA YA TIBA. 

1.POWERFUL OIL


HAYA MAFUTA YANATIBU:

  • KUONDOA NGUVU ZA GIZA
  • KUSADIA KUFA GANZI KATIKA BAADHI YA VIUNGO, MIGUU KUWAKA MOTO
  • KUFUKUZA MAJINI NDANI YA MWILI
  • KUZUIA KUOTA NDOTO ZA KUTISHA
  • KUOTA UNAINGILIWA KIMAPENZI USIKU
  • KUZUIA WACHAWI KUINGIA NDANI YA NYUMBA YAKO KWA NGUVU ZA GIZA( JIPAKE KABLA YA KULALA MWILI MZIMA KIDOGO TU NA NYUNYUZIA KWENYE NYUMBA YAKO KILA BAADA YA MWEZI HASA KWENYE PEMBE , MADIRISHA NA MILANGONI)
  • KUONDOA HALI YAKUWA NA WASIWASI NA KUKATA TAMAA NA HALI YA KUCHANGAMKA(JIPAKE USONI NA KICHWANI NA KIFUANI NA UTAJISIKIA UNAKUWA NA HALI MPYA NA KUONGEZA NGUVU YA KUTOKATA TAMAA)
2.MT32

 DAWA HII INAITWA MT32 KWANI NI UNGA ULIOSAGWA KUTOKANA NA MITI 32 YA TIBA.

UNATUMIA KWENYE ASALI AU UNACHEMSHA NA KUNYWA NA INATIBU MAGONJWA MENGI YANAYOJULIKANA KWA VIPIMO NA YALE YASIYOJULIKANA KWA VIPIMO HASA HAYA:
  • UCHAWI ULIOKO MWILINI
  • KUHISI VITU VINATEMBEA MWILINI
  • KUHISI MWILI MZITO NA KAMA UMEBEBA MZIGO 
  • KUISHIWA NGUVU NA VIPIMO HAVIONYESHI CHANZO
  • MISHIPA YA UZAZI KUHISI INAUMA NA CHANZO HUKIJUI
  • KUHISI KUNA VITU VINATEMBEA JUU YA NGOZI
  • KUHISI MOYO UNAJITINGISHA NA BAADHI YA VIUNGO




3.SAFISHA

 Dawa ni mitishamba na inasafisha mafuta yaliyoko mwilili na kwenye utumbo mpana na mwembamba(small and large intestines kwa siku 3 mpaka 7).

Sasa dawa hii ina faida hizi:
  • Kupunguza uzito
  • Kuondoa uchafu tumboni
  • Kusaidia kupata choo
  • Kusafisha mishipa na kukupa afya imara kwani mfumo wa chakula ndo unasababisha upate afya nzuri.
  • Kama ulilishwa madawa ya uchawi yatatoka yote
 KWA WALE WANAOTAKA KUPUNGUZA UZITO NAO INAWASAIDIA SAMBAMBA NA KULA MILO ISIYO NA MAFUTA MENGI NA WANGA KWA WINGI. UKISHA TUMIA GLASS 1 BAADA YA MASAA KAMA SITA UNAHARISHA KWA KIASI FULANI NA MPAKA SIKU 3 UNAKUWA UMEPUNGUA NA WEWE MWENYEWE UTASIKIA UMEKUWA MWEPESI

Baada ya kuichemsha unakunywa na mnamo masaa 6 utaanza kuharisha na kuendelea kiasi unaharisha kawaida na kutoa uchafu, mafuta, na hata magonjwa ya tumboni, watu wasiopata choo na kinaganda nao wanatoa uchafu huu hatari wa kuozea tumboni na kusababisha vidonda vya tumboni na wakati mwingine kansa ya utumbo. Choo kinakuwa cha shida na mtu akienda chooni anakunya kama kinyeshi cha mbuzi na mwingine anakaa mpaka anapasua sehemu ya haja kubwa na kutoka damu. Hii ikiwa ya muda mredu mishipa hulegea na kusababisha sehemu ya ndani kutoka na hatimaye kupata magonjwa ya ajabu na magumu kutibu hospitalini.

OFISI YETU

TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM VINGUGUTI


Contacts: 
+255 785708655
+255712708655
+255717147649
+255764041507
Email: tibaherbs@gmail.com

No comments:

Post a Comment