Search This Blog

Saturday, May 17, 2014

Homa ya dengue Je ni Yapi ya kufanya na Yapi ya kuacha

 Ya kuacha ni haya
Usitumie aspirini, antibiotics yoyote, dawa za kwenye mishipa kama quinine na madawa makali ya kutuliza maumivu.

Ya kufanya ni haya
Kunywa maji au soup au juice au maziwa kwa wingi ili mwili uwe na maji kwa wingi na tumia paracetamol(panadol) kwa kupunguza maumivu makali na muone daktari kwa huduma ya haraka ili upate ushauri zaidi hasa ukiwa na dalili kama kutoka damu puani na sehemu zingine na kuhisi kuzidiwa ili upate huduma ya haraka.

Homa ya Dengue nini?
Homa hii wakati mwingine huitwa homa ya kuvunja mfupa(break bone fever) na imekuwepo miaka mingi na hasa nchi za kitropic zinapata wagonjwa wa dengue karibu kila mwaka wanaambukizwa watu wengi. Nchi nyingine nazo zinapata ugonjwa kila mwaka maambukizi yanakuwa kati ya 50 milioni mpaka 528 milioni duniani. Vifo ni kati ya 1%-5% bila tiba na tiba ikifanyika ya kuujua na kunywa maji kwa wingi na painkiller kama panadol ikatumika vifo ni chini ya 1%.

Dengue ni ugonjwa unaoambukizwa katika nchi zaidi ya 110 duniani.

Kinga ni kuharibu mazalio ya mbu na kuhakikisha tunaua mbu na kupiga dawa za kuharibu vyanzo vya mbu na kusafisha mitalo, kuondoa maji yaliyotuama na madampo kuchoma takataka hizo.

Ugonjwa huu unatokana na virus waitwao kitaalamu Flaviviridae; genus Flavivirus na wanatokana na mbu wa aina ya AIDES
 
Mbu na virus waenezao homa ya dengue


Huyu mgonjwa ana upele mgongo mzima kwa kusambaa na ni dalili mojawapo ya dengue

Dalili kuu za dengue ni:

  • Kichwa kisicho cha kawaida(kikali)
  • Homa
  • Kuumwa joint za mwili mzima na misuli
  • Kupata maupele kwenye ngozi mfano wa mapele ya surua
 Ugonjwa ukifikia kiwango fulani mgonjwa utoka damu puani na kufanana kama pressure imeshuka na kupungua chembe za damu mwilini na hapo mgonjwa anakuwa taabani sana.
 Tiba ya Homa ya Dengue
Mpaka sasa hakuna tiba rasmi wala chanjo, tiba yake ni kuhakikisha mwili una maji ya kutosha kwa kunywa maji salama kwa wingi na kutumia pain killers zile za kawaida tu kama panadol na kuhakikisha unakunywa sana ili ukojoe sana.

kama unaumwa magonjwa yasiyopatikana kwa vipimo na unaendelea kupata maumivu na huponi kwa juhudi za tiba za hospital, njoo ofisini kwetu

Pata dawa iitwayo Powerful Oil na kabla ya kulala jipake mwili mzima na hii tabia itakoma na ukijipaka siku saba inaisha kwani mashetani hawatakuja tena kukusumbua ndotoni.

Madawa mengine

Madawa haya yanatokana na mitishamba mbali mbali ya Africa na Mashariki ya Kati na yanatibu magonjwa mengi unayo yajua na yale usiyojua. Madawa haya ni unga umesagwa na ni rahisi kutumia kwenye maji moto au asali na hakuna kemikali yoyote. Powerful oil ni mafuta yenye uwezo mkubwa wa kufukuza na kuzuia nguvu za giza za aina zote.


 MADAWA HAYA KWA MAJINA NI:
  1. POWERFUL OIL
  2. MT32
  3. SAFISHA

MADAWA HAYA YA ASILI NA HAYANA KEMIKALI YOYOTE NA MADAWA YENYE UWEZO MKUBWA ALIOWEKA MWENYEZIMUNGU KATIKA TIBA MBALI MBALI KWANI YAMEFANYIWA UTAFITI WA MUDA MREFU NA NI MITISHAMBA ZAIDI YA 30 IMECHANGANYWA, MAFUTA HAYO YANA NGUVU KUBWA YA TIBA. 

1.POWERFUL OIL


HAYA MAFUTA YANATIBU:

  • KUONDOA NGUVU ZA GIZA
  • KUSADIA KUFA GANZI KATIKA BAADHI YA VIUNGO, MIGUU KUWAKA MOTO
  • KUFUKUZA MAJINI NDANI YA MWILI
  • KUZUIA KUOTA NDOTO ZA KUTISHA
  • KUOTA UNAINGILIWA KIMAPENZI USIKU
  • KUZUIA WACHAWI KUINGIA NDANI YA NYUMBA YAKO KWA NGUVU ZA GIZA( JIPAKE KABLA YA KULALA MWILI MZIMA KIDOGO TU NA NYUNYUZIA KWENYE NYUMBA YAKO KILA BAADA YA MWEZI HASA KWENYE PEMBE , MADIRISHA NA MILANGONI)
  • KUONDOA HALI YAKUWA NA WASIWASI NA KUKATA TAMAA NA HALI YA KUCHANGAMKA(JIPAKE USONI NA KICHWANI NA KIFUANI NA UTAJISIKIA UNAKUWA NA HALI MPYA NA KUONGEZA NGUVU YA KUTOKATA TAMAA)
2.MT32

 DAWA HII INAITWA MT32 KWANI NI UNGA ULIOSAGWA KUTOKANA NA MITI 32 YA TIBA.

UNATUMIA KWENYE ASALI AU UNACHEMSHA NA KUNYWA NA INATIBU MAGONJWA MENGI YANAYOJULIKANA KWA VIPIMO NA YALE YASIYOJULIKANA KWA VIPIMO HASA HAYA:
  • UCHAWI ULIOKO MWILINI
  • KUHISI VITU VINATEMBEA MWILINI
  • KUHISI MWILI MZITO NA KAMA UMEBEBA MZIGO 
  • KUISHIWA NGUVU NA VIPIMO HAVIONYESHI CHANZO
  • MISHIPA YA UZAZI KUHISI INAUMA NA CHANZO HUKIJUI
  • KUHISI KUNA VITU VINATEMBEA JUU YA NGOZI
  • KUHISI MOYO UNAJITINGISHA NA BAADHI YA VIUNGO

3.SAFISHA

 Dawa ni mitishamba na inasafisha mafuta yaliyoko mwilili na kwenye utumbo mpana na mwembamba(small and large intestines kwa siku 3 mpaka 7).

Sasa dawa hii ina faida hizi:
  • Kupunguza uzito
  • Kuondoa uchafu tumboni
  • Kusaidia kupata choo
  • Kusafisha mishipa na kukupa afya imara kwani mfumo wa chakula ndo unasababisha upate afya nzuri.
  • Kama ulilishwa madawa ya uchawi yatatoka yote
 KWA WALE WANAOTAKA KUPUNGUZA UZITO NAO INAWASAIDIA SAMBAMBA NA KULA MILO ISIYO NA MAFUTA MENGI NA WANGA KWA WINGI. UKISHA TUMIA GLASS 1 BAADA YA MASAA KAMA SITA UNAHARISHA KWA KIASI FULANI NA MPAKA SIKU 3 UNAKUWA UMEPUNGUA NA WEWE MWENYEWE UTASIKIA UMEKUWA MWEPESI

Baada ya kuichemsha unakunywa na mnamo masaa 6 utaanza kuharisha na kuendelea kiasi unaharisha kawaida na kutoa uchafu, mafuta, na hata magonjwa ya tumboni, watu wasiopata choo na kinaganda nao wanatoa uchafu huu hatari wa kuozea tumboni na kusababisha vidonda vya tumboni na wakati mwingine kansa ya utumbo. Choo kinakuwa cha shida na mtu akienda chooni anakunya kama kinyeshi cha mbuzi na mwingine anakaa mpaka anapasua sehemu ya haja kubwa na kutoka damu. Hii ikiwa ya muda mredu mishipa hulegea na kusababisha sehemu ya ndani kutoka na hatimaye kupata magonjwa ya ajabu na magumu kutibu hospitalini.

OFISI YETU

TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM.

Contacts:
Email: tibaherbs@gmail.com 

 +255764041507/+255717147649

Dar es Salaam, Tanzania.

Tiba ya Homa ya Dengue ukiwa nyumbani

 Tumia paracatemol hasa panadol na kunywa maji na juisi kwa wingi hasa juisi ya majani ya mapapai inapunguza makali sana ya homa hii kwani majani ya mapapai yanaongeza chembe za damu kwa haraka.
Homa hii wakati mwingine huitwa homa ya kuvunja mfupa(break bone fever) na imekuwepo miaka mingi na hasa nchi za kitropic zinapata wagonjwa wa dengue karibu kila mwaka wanaambukizwa watu wengi. Nchi nyingine nazo zinapata ugonjwa kila mwaka maambukizi yanakuwa kati ya 50 milioni mpaka 528 milioni duniani. Vifo ni kati ya 1%-5% bila tiba na tiba ikifanyika ya kuujua na kunywa maji kwa wingi na painkiller kama panadol ikatumika vifo ni chini ya 1%.

Dengue ni ugonjwa unaoambukizwa katika nchi zaidi ya 110 duniani.

Kinga ni kuharibu mazalio ya mbu na kuhakikisha tunaua mbu na kupiga dawa za kuharibu vyanzo vya mbu na kusafisha mitalo, kuondoa maji yaliyotuama na madampo kuchoma takataka hizo.

Ugonjwa huu unatokana na virus waitwao kitaalamu Flaviviridae; genus Flavivirus na wanatokana na mbu wa aina ya AIDES
 
Mbu na virus waenezao homa ya dengue


Huyu mgonjwa ana upele mgongo mzima kwa kusambaa na ni dalili mojawapo ya dengue

Dalili kuu za dengue ni:

  • Kichwa kisicho cha kawaida(kikali)
  • Homa
  • Kuumwa joint za mwili mzima na misuli
  • Kupata maupele kwenye ngozi mfano wa mapele ya surua
 Ugonjwa ukifikia kiwango fulani mgonjwa utoka damu puani na kufanana kama pressure imeshuka na kupungua chembe za damu mwilini na hapo mgonjwa anakuwa taabani sana.
 Tiba ya Homa ya Dengue
Mpaka sasa hakuna tiba rasmi wala chanjo, tiba yake ni kuhakikisha mwili una maji ya kutosha kwa kunywa maji salama kwa wingi na kutumia pain killers zile za kawaida tu kama panadol na kuhakikisha unakunywa sana ili ukojoe sana.

Homa dengue(Ugonjwa wa Dengue)

Homa hii wakati mwingine huitwa homa ya kuvunja mfupa(break bone fever) na imekuwepo miaka mingi na hasa nchi za kitropic zinapata wagonjwa wa dengue karibu kila mwaka wanaambukizwa watu wengi. Nchi nyingine nazo zinapata ugonjwa kila mwaka maambukizi yanakuwa kati ya 50 milioni mpaka 528 milioni duniani. Vifo ni kati ya 1%-5% bila tiba na tiba ikifanyika ya kuujua na kunywa maji kwa wingi na painkiller kama panadol ikatumika vifo ni chini ya 1%.

Dengue ni ugonjwa unaoambukizwa katika nchi zaidi ya 110 duniani.

Kinga ni kuharibu mazalio ya mbu na kuhakikisha tunaua mbu na kupiga dawa za kuharibu vyanzo vya mbu na kusafisha mitalo, kuondoa maji yaliyotuama na madampo kuchoma takataka hizo.

Ugonjwa huu unatokana na virus waitwao kitaalamu Flaviviridae; genus Flavivirus na wanatokana na mbu wa aina ya AIDES
 
Mbu na virus waenezao homa ya dengue


Huyu mgonjwa ana upele mgongo mzima kwa kusambaa na ni dalili mojawapo ya dengue

Dalili kuu za dengue ni:

  • Kichwa kisicho cha kawaida(kikali)
  • Homa
  • Kuumwa joint za mwili mzima na misuli
  • Kupata maupele kwenye ngozi mfano wa mapele ya surua
 Ugonjwa ukifikia kiwango fulani mgonjwa utoka damu puani na kufanana kama pressure imeshuka na kupungua chembe za damu mwilini na hapo mgonjwa anakuwa taabani sana.
 Tiba ya Homa ya Dengue
Mpaka sasa hakuna tiba rasmi wala chanjo, tiba yake ni kuhakikisha mwili una maji ya kutosha kwa kunywa maji salama kwa wingi na kutumia pain killers zile za kawaida tu kama panadol na kuhakikisha unakunywa sana ili ukojoe sana.

Kama unaumwa magonjwa yasiyoeleweka na unaota ndoto za kutisha
Pata dawa iitwayo Powerful Oil na kabla ya kulala jipake mwili mzima na hii tabia itakoma na ukijipaka siku saba inaisha kwani mashetani hawatakuja tena kukusumbua ndotoni.

Madawa mengine

Madawa haya yanatokana na mitishamba mbali mbali ya Africa na Mashariki ya Kati na yanatibu magonjwa mengi unayo yajua na yale usiyojua. Madawa haya ni unga umesagwa na ni rahisi kutumia kwenye maji moto au asali na hakuna kemikali yoyote. Powerful oil ni mafuta yenye uwezo mkubwa wa kufukuza na kuzuia nguvu za giza za aina zote.


 MADAWA HAYA KWA MAJINA NI:
  1. POWERFUL OIL
  2. MT32
  3. SAFISHA

MADAWA HAYA YA ASILI NA HAYANA KEMIKALI YOYOTE NA MADAWA YENYE UWEZO MKUBWA ALIOWEKA MWENYEZIMUNGU KATIKA TIBA MBALI MBALI KWANI YAMEFANYIWA UTAFITI WA MUDA MREFU NA NI MITISHAMBA ZAIDI YA 30 IMECHANGANYWA, MAFUTA HAYO YANA NGUVU KUBWA YA TIBA. 

1.POWERFUL OIL


HAYA MAFUTA YANATIBU:

  • KUONDOA NGUVU ZA GIZA
  • KUSADIA KUFA GANZI KATIKA BAADHI YA VIUNGO, MIGUU KUWAKA MOTO
  • KUFUKUZA MAJINI NDANI YA MWILI
  • KUZUIA KUOTA NDOTO ZA KUTISHA
  • KUOTA UNAINGILIWA KIMAPENZI USIKU
  • KUZUIA WACHAWI KUINGIA NDANI YA NYUMBA YAKO KWA NGUVU ZA GIZA( JIPAKE KABLA YA KULALA MWILI MZIMA KIDOGO TU NA NYUNYUZIA KWENYE NYUMBA YAKO KILA BAADA YA MWEZI HASA KWENYE PEMBE , MADIRISHA NA MILANGONI)
  • KUONDOA HALI YAKUWA NA WASIWASI NA KUKATA TAMAA NA HALI YA KUCHANGAMKA(JIPAKE USONI NA KICHWANI NA KIFUANI NA UTAJISIKIA UNAKUWA NA HALI MPYA NA KUONGEZA NGUVU YA KUTOKATA TAMAA)
2.MT32

 DAWA HII INAITWA MT32 KWANI NI UNGA ULIOSAGWA KUTOKANA NA MITI 32 YA TIBA.

UNATUMIA KWENYE ASALI AU UNACHEMSHA NA KUNYWA NA INATIBU MAGONJWA MENGI YANAYOJULIKANA KWA VIPIMO NA YALE YASIYOJULIKANA KWA VIPIMO HASA HAYA:
  • UCHAWI ULIOKO MWILINI
  • KUHISI VITU VINATEMBEA MWILINI
  • KUHISI MWILI MZITO NA KAMA UMEBEBA MZIGO 
  • KUISHIWA NGUVU NA VIPIMO HAVIONYESHI CHANZO
  • MISHIPA YA UZAZI KUHISI INAUMA NA CHANZO HUKIJUI
  • KUHISI KUNA VITU VINATEMBEA JUU YA NGOZI
  • KUHISI MOYO UNAJITINGISHA NA BAADHI YA VIUNGO

3.SAFISHA

 Dawa ni mitishamba na inasafisha mafuta yaliyoko mwilili na kwenye utumbo mpana na mwembamba(small and large intestines kwa siku 3 mpaka 7).

Sasa dawa hii ina faida hizi:
  • Kupunguza uzito
  • Kuondoa uchafu tumboni
  • Kusaidia kupata choo
  • Kusafisha mishipa na kukupa afya imara kwani mfumo wa chakula ndo unasababisha upate afya nzuri.
  • Kama ulilishwa madawa ya uchawi yatatoka yote
 KWA WALE WANAOTAKA KUPUNGUZA UZITO NAO INAWASAIDIA SAMBAMBA NA KULA MILO ISIYO NA MAFUTA MENGI NA WANGA KWA WINGI. UKISHA TUMIA GLASS 1 BAADA YA MASAA KAMA SITA UNAHARISHA KWA KIASI FULANI NA MPAKA SIKU 3 UNAKUWA UMEPUNGUA NA WEWE MWENYEWE UTASIKIA UMEKUWA MWEPESI

Baada ya kuichemsha unakunywa na mnamo masaa 6 utaanza kuharisha na kuendelea kiasi unaharisha kawaida na kutoa uchafu, mafuta, na hata magonjwa ya tumboni, watu wasiopata choo na kinaganda nao wanatoa uchafu huu hatari wa kuozea tumboni na kusababisha vidonda vya tumboni na wakati mwingine kansa ya utumbo. Choo kinakuwa cha shida na mtu akienda chooni anakunya kama kinyeshi cha mbuzi na mwingine anakaa mpaka anapasua sehemu ya haja kubwa na kutoka damu. Hii ikiwa ya muda mredu mishipa hulegea na kusababisha sehemu ya ndani kutoka na hatimaye kupata magonjwa ya ajabu na magumu kutibu hospitalini.

OFISI YETU

TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM.

Contacts:
Email: tibaherbs@gmail.com 

 +255764041507/+255717147649

Dar es Salaam, Tanzania.

Thursday, May 8, 2014

Kazi na utapeli, kuwa makini na matangazo ya kazi

Duniani ya sasa hizi mbwa au paka anaweza akawa muaminifu kuliko mwanadamu ambao kapewa ziada ya utambuzi, siku kuna utapeli wa aina nyingi na kila siku unaongezeka na kufanya watu wasijue ipi taarifa ya kweli na ipi si kweli. Hii inasababisha kuwa na kasi ndogo katika maamuzi na kufanya maendeleo ya kweli yaweze kufikiwa mapema, siku hizi kuna matangazo mengi ya kazi na kubandikwa miji mikuu yakitaja mishahara itakayolipwa na bila kutaja ofisi iliko na uhalali wa ofisi, ila tu inawekwa namba ya siku ya mkononi.

Sasa utapeli huu unaanzia kwenye kupiga simu na hapo unapewa Lugha nzuri na mikakati ya kupata kazi na mwisho unatapeliwa, kuna jamaa walisoma tangazo la kazi kuwa ni kuajiriwa mgodi mmoja wa hapa Tanzania na wakaweka nafasi nyingi za kuajiriwa katika Tangazo na wakabandika miji mbali mbali hapa Tanzania. Jamaa wakachukua namba za simu wakaongea na mtu anayejiita Afisa Utumishi na akawamia watume maombi kwa email basi jamaa wakafanya hivyo na akawajibu kwa simu kuwa ameyapokea na akasema wametuma maombi wengi lakini atawaasaidia.

Wakawa wanaongea naye kwa simu na baadaye akawambia majina yao yamepitishwa waje kwenye interview na akawambia ili siku hiyo aweze kuwasaidia watume shs 45,000/= tu kwa Mpesa. Basi wakazituma na akasema nimezipokea mje kwenye interview siku fulania na saa fulani.

Jamaa wakafurahi na wakachukua usafiri mapema sana na kuelelekea kwenye interview, hii safari ilikuwa ndefu kwa hiyo ilibidi waondoke siku moja kabla ya interview ili wasichelewe na wakakosa kazi kwani wameisha kuwa na urafiki na Afisa Utumishi, walipofika karibu na Gate kuu ya Mgodi kwa sababu ya ulimzi mkali wakampigia simu kama alivyowambia kuwa mkikaribia mniambie nije niwapokee getini, basi wakapiga simu na akapokea na kuwapa pole na safari na kuwaeleza namna ya kujibu maswali ya interview na akawambia kuna wenzangu muhimu kwenye panel ya interview kwahiyo watume Lakini moja ya Tanzania(100,000/=) ili nao wagawane na hii moja kwa moja watakuwa wamepata kazi kwani hao wamo kwenye interview na yeye yumo.

Jamaa hawa walikuwa hawana pesa na wakamwambia sasa hivi tuna nauli tu ya kurudi na pesa yote imeisha na ndo maana wanatafuta kazi, jamaa akasema jitahidi kuwapigia jamaa, ndugu, marafiki wawatumie kwenye Mpesa hapo na nyie mnirushie kwenye simu yangu sasa hivi kwani muda wa Interview imebaki muda kidogo kuitwa kwenye ukumbi, jamaa kusikia hivyo wakaanza kuwapigia ndugu na jamaa kuwa tuko mgodini tumepata kazi kuna laki moja inatakiwa sasa hivi nisadie nitakurudishia na kukupa shukurani kwani mishahara iko juu na nikianza kazi mambo yatakuwa sawa hata wewe ndugu yangu na mwingine akampigia kaka yake mwenye duka na kumwambia nikope kaka hiyo duka nitaijaza mali nikilipwa mshahara wa kwanza kwani ninakaribia kupewa mkataba wa kazi.

Kwa lugha hizi jamaa wakatumiwa pesa kwa Mpesa na wao wakamrushia Afisa Utumishi Hewa wa Mgodini wasiyemjua kwa sura wala kama yupo, basi wakamuuliza na akasema nimepata na hapo ndipo akasema nakuja kuwachukua getini, jamaa wakaanza kujicheki kama wako smart na kuchomekea vizuri nguo na kupangusa viatu vyao ili akija kuwapeleka waende wakiwa smart.

Wakasubiri ikapita dakika 15 mpaka nusu sasa na wakampigia ili wamuulize yuko wapi labda amewakosa, maskini simu inasema namba hii haipatikani kwa sasa, labda mtandao tuma meseji na baadaye piga tena hakuna simu hewani, basi wakasubiri masaa 2 na kupiga tena simu inasema hii simu haipatikani, hawa wote wasomi kumbuka na wamepitia form six na vyuo tena vya sayansi.

Wakaamua wasogee getini na hali ya kuwa wanaogopa wasije wakaitwa wezi lakini wakaamua kumuita mlinzi mmoja kumtaka msaada wa taarifa, wakamuuliza kuwa hapa kuna interview ya kazi na wao wamekuja kwenye interview na Afisa Utumishi wamemsubiri ili kuwapeleka simu yake haipatikani! Mlinzi akawambia hapa hakuna interview na wala hakuna Tangazo la kazi la hivi karibuni na hawajaanza kuajiri tena.

Basi ndipo walihisi wanataka kuzimia na wakaondoka kimya kimya bila kuzidi kumpa story kamili mlinzi huyo na hali wana madeni na nauli imepungua na ahadi walizotoa kwa ndugu zikawa zinawarudia kichwani na kuwafanya wapate mfazaiko mkubwa.

Mimi na wewe tuwe makini katika kupokea na kufanyia kazi taarifa na habari yoyote hasa za kifedha kwa makini kwani hali si nzuri mtaani na hii haina cha Mzee. Kijana na wala Bosi wa Kampuni. Chunguza kwa kina kabla ya kukubali taarifa utakayopata.

NAFASI ZA MASOMO
JOOMLA CMS
GIS
TALLY
PASTEL
MYOB
COMPUTER REPAIR and MAINTENANCE

Contacts:
Email: tibaherbs@gmail.com 

 +255764041507/+255717147649

Dar es Salaam, Tanzania.






Web site designing at affordable cost in Tanzania

Web site is very important in marketing and the presence of your web site about your activities or business can expand your market and increase incomes which is the major aim of any business.
NGO's can succeed on their services by exposing what their doing to people in the community through website.

Please if you want to have your website designed and published as you want to appear we are ready at affordable cost you cant imagine.

Send email to us today to get more information:

computces@gmail.com



+255762053174/+255621870342


Sunday, May 4, 2014

Sheikh Ilunga kapungu Afishwa saa 5 Usiku tar 4/5/2014

Inna Lillah Wainna Ileiy Rajiun
Picha ya  Marehemu Sheikh Ilunga Kapungu katika uhai wake



Sheikh Ilunga amefishwa saa 5 Usiku tarehe 4/5/2014 na Mazishi yatafanyika Makaburi ya Mwinyi Mkuu Magomeni baada ya Alasiri katika Msikiti wa Kichangani jijini Dar es Salaam.


Sheikh Ilunga alikuwa mwanaharakati katika kufikisha ujumbe kwa wanadamu kuhusu Mwenyezi Mungu na kumtii yeye peke yake katika Ibada, alikuwa anahamasisha maendeleo ya waislam kama kujenga shule na hospitali.

Sheikh Ilunga alikuwa anazunguka sehemu mbali mbali tanzania kuwazindua waislam kuhusu dhulma zidi yao kama kufanyiwa juhudi za ubaguzi katika elimu na kazi, hii alijitahidi kuwapa elimu waislam na watanzania wenye nia njema kuhusu mfumo kristo na bahati nzuri Alhamdulillah technologia imesaidia kufikisha ujumbe kwani hotuba zake ziko kwenye DVD, CD na kwenye Youtube kwenye internet. Yeye amefishwa lakini kazi yake ya kufikisha ujumbe na kuelimisha wanaodhulumiwa kwa mfumo wa siri usiokuwa rahisi kuugundua kwa mtu wa kawaida bado inaendelea kupitia Digitali.

Mwenye Mungu amsamehe na tuzidi kumuombea na sisi tutarejea kwa Mwenyezi Mungu muda wowote kuanzia sasa. Tujitahidi kufanya mema na kuomba msamaha, kutoa sadaka kabla ya kufishwa.

Thursday, May 1, 2014

Necta Past papers at 500/= per past paper examination

Utapata past papers kwa miaka iliyopita katika masomo yote na ni form 4 kwa sasa tunayo.

Tuna kama miaka 10 iliyopita na hii ukiipata kwa masomo yote utakuwa na upeo wa kujibu mtihani kama utapitia vizuri na kusoma notisi zako na kufuatilia kwa karibu kila swali.

Tuma email yako tutakutumia na utadownload

Gharama ya kila past paper 1 Form 4 ni 500/= tu


Contacts:
Email: computces@gmail.com 


Mawasiliano: Upate huduma

+255762053174/+255621870342


Website designing and hosting at affordable cost

We design the website for schools, enterprises and cooperate companies.

We use CMS like Joomla so that it will be easier to update the website for new information by your staff even if will be your secretary who knows just computer application programs like word, excel and internet can do it.

Email for more inquiry: computces@gmail.com

price for web design
- for schools=600,000/=
Hosting=120,000/= per year

Enterprises = 700,000/=

Cooperate company=850,000/=
Hosting=150,000/=  per year

free support for 2 years

For NGO designing cost= 520,000/=
Hosting = 90,000/= per year


Contacts:


 +255764041507/+255717147649

Dar es Salaam, Tanzania.