Search This Blog

Tuesday, June 16, 2020

Uchawi ni dhambi katika uislam

Usiloge wala kujifunza uchawi, uchawi ni kosa na hukumu ni kuuawa katika mafunzo ya dini za Kiislam na Kikristo kwani watu wengi wanasumbuliwa na wachawi na chanzo ni husuda na kulipiza.

Mungu anasema Wachawi waliitwa na Faraho wa misri enzi za Mtume Musa, Musa alipotumia uwezo wa Mungu wao walidhani ni uchawi na wakataka kuonyesha uchawi wao kwa Musa, Musa kwa kutumia uwezo wa Mungu aliwashinda na baadhi yao wakasujudu na kuamini Mungu wa Musa na Harun,

Habari utazipata katika Qur'an na Biblia na mpaka leo wachawi wapo, ukijihisi umelogwa kwa dalili hizi kukutokea:

Kuchanjwa usingizini
Kuota ndoto za ajabu na za kutisha
Kuumwa maradhi yasiyoeleweka hata kwa vipimo vya Hoaspitali
Kuchoka kila siku ukiamuka asubuhi na huna malaria kamwe
Kukata tamaa ya maisha na kila mtu kukuchukia
Kama ni mwanamke hupendi kuolewa au unakosa wa kukuoa na kila akija mchumba anaacha muda mfupi tu
Kuota unafanya mapenzi na watu usiku au wanyama
Kuota unajisaidia sehemu au chooni au sehemu chafu
Kuhisi unaitwa jina lako

Ukiwa na dalili mojawapo basi kuna uchawi unaendelea dhidi yako na unaweza kuomba sana Mungu mmoja wa pekee na wakati huo unapata tiba na kutumia dawa zifuatazo:

  1. Powerful soap
  2. Powerful Oil
  3. Safisha
  4. Mt32
  5. Peace Oil

Uchawi upo kwa asilimia 100

uchawi upo kila sehemu na wala usiogope kwani ukimuamini Mungu muumba kwa uhakika unaushinda kwa uwezo wake.

Ukihisi kuogwa na dalili kama kuchanjwa usiku umelala, kukwaruza mikwaruzo umelala, kuota unalishwa vitu au nyama, kuota nyoka weusi na mbwa mara kwa mara usingizini basi jua kuwa umelogwa na unawezekana hata jini umetupiwa unaishi nalo.

Kuna mambo mengi hatuyaoni kwa macho ila yapo, kama mawimbi ya mitandao ya simu, mawimbi ya TV, Radio, Uhai na maisha baada ya kufa tutaona mengi zaidi ya haya.

Malaria huwezi ukaiona bila Microscope lakini tunaweza tukapata dalili za malaria kama viungo vya mwili kuumwa na kulegea, homa kali na kichwa.
Dalili zinatupa taarifa kuwa mwili wetu unaweza kuwa una malaria ila tunahakikisha kwa kupima malaria kwenye maabara.

Uchawi unazo dalili nyingi ila watu wanasema mimi nina bahati mbaya au nina kisilani au kuna mkono wa mtu na mfano wa kama hayo.

Kwa hiyo la msingi na muhimu ukijihisi hauko sawa nenda kwanza kapime afya na ukikuta ugonjwa mwilini basi anza dozi sahihi, ikiwa hakuna walichokiona basi jaribu kutumia dawa za asili zikiwemo za tiba nyingi ikiwemo hata uchawi.

Dawa hizi ni muhimu kwa mtu mwenye dalili za kuhisi maumivu na miguu kuwaka moto, kuota ndoto mbaya, kuhisi vitu mwilini vinatembea mwilini na kujihisi mwoga na moyo kuhisi sindano.
Kukosa upendo kwa watu bila sababu na kuchukiwa bila sababu na watu wengi.

  1. Powerful soap
  2. Powerful oil
  3. Safisha
  4. Mt32
  5. Peace Oil
  6. Super MT

Mawasiliano: Upate huduma

+255762053174/+255621870342

Email: tibaherbs@gmail.com

Tuesday, March 10, 2020

MYOB Accounitng systems

We are expert in  MYOB, Tally and QuickBooks accounitng systems, we can train, make setup and do other posting in ledgers for you.

We have an office in Dar es Salaam ,Tanzania.
+255762053174/+255621870342

Email: computces@gmail.com

Saturday, January 18, 2020

Nuksi na Mikosi

Kusikia kauli za nina nuksi au ana nuksi au ana mikosi ni jambo la kawaida katika jamii, kwa mtani au kwa mzaa au baada ya kuona kila jambo unalofanya linatokeza matokeo mabaya sana kiasi kwamba unakata tamaa kila kukicha na kujiuliza nina nini?

Mikosi na nuksi ni hali ya kuharibikiwa kila mara, hii inaweza kuwa ni mipango ya Mungu mmoja muumba kukuona una msimamo gani na uwezo wake, pia matatizo mengine ni sisi wenyewe tunasababisha kwa makusudi au kwa jeuri au kwa bahati mbaya.
 Kuna mikosi na nuksi inavyoitwa  kwa mujibu wa binadamu kukufitini hasa kwa njia za nguvu za giza maana yake uchawi na kutupiana majini.

Ukilogwa na kutupiwa majini una weza pata majanga ukayaita mikosi na nuksi.

Dalili za kulogwa au kuwa na jini au vyote viwili

  • Mfano unaweza kuwa unaota mara kwa mara unalishwa vitu usingizini au unapewa madawa na wakati mwingine unakuta asubuhi umechanjwa chale mwilini au una mikwaruzo.
  • Unaweza kuota unafanya mapenzi na watu au wanyama
  • Unaweza ota unalima na asubuhi unaamka umechoka
  • Unaweza kuhisi mwili wako kuna vtu vinatembea kama siafu au joto lisilo la kawaida sehemu ya viungo
  • Kuhisi ganzi na kichwa upande mmoja kisichopona
  • Macho kushindwa kuona darasani au ofisini lakini ukiwa nje unakuwa sawa
  • Kushindwa tendo la ndoa au kuhisi hupendi kabisa na ukilazimisha unashindwa
  • Kupiga mihayo mingi mara kwa mara bila usingizi au njaa
  • Kuhisi umebeba vitu mgongoni na kuhisi kifua kizito
  • Kuhisi kuna mtu amekusimamia au anakufuata nyuma na ukigeuka huoni mtu huyo
  • Kukata tamaa ya maisha na kuona kila kitu hakiwezekani
  • Kuingia kwenye hedhi bila mpngilio na kwa shida
  • Kutoka damu ya hedhi bila kukoma kwa miezi au damu kupotea na hali huna mimba
  • Kuchukiwa na kila mtu bila sababu hata jamaa na marafiki
  • Kuongea usiku na kupiga kelele
  • Kuota nyoka mara kwa mara na paka hasa weusi
  • Kuota uko msituni mara kwa mara
  • Kuota uko chooni au bafuni au sehemu chafu mara kwa mara
  • Kuota unakojoa mara kwa mara na wakati mwingine unakaribia kukojoa kitandani
  • Kuota watu waliokufa na unaongea jamaa zako marehemu mara kwa mara
  • Kuota uko makaburini mara kwa mara
  • Choo inakuwa ngumu hata kama unakula matunda na unajisaidia mavi kama ya mbuzi kwa taabu na muda wote na hili hali minyoo hauna baada ukipima choo.
  • Kutingishika baadhi ya viungo vya mwili na kuhisi kitu kinatembea tumboni mgongoni au sehemu za mwili
  • Kuota unagombana na kundi la watu kwa vitisho mpaka unatoka jasho
  • Kuhisi woga na moyo kudunda mara kwa mara ghaflaukitoka usingizini au ukiwa peke yako
  • Mipango yote muhimu kuwa inavurugika ikikaribia kuwa sawa
  • Kshindwa kuoa au kuolewa na ukipata mchumba mara mipango inaharibika mwishoni
  • Kuota unakufa na unazikwa
  • Kuwa mzembe na kupenda kulala sana wakati mwingine saa nne ndo unapenda kuamka
  • Bosi kukuchukia bila sababu na ukiongea hataki wala mawazo yake ila ni kukufokea hata ujitahidi kuwa mpole na mchapa kazi wa hali ya juu
  • Kuona mme au mke anayo sura ya ajabu kama ya nguruwe au mbwa na hili hali wengine wanamuona mzuri

Dalili hizo ni za kufanyiwa uchawi au kuwa na majini yanayokusumbua ya kiuchawi


Kuna tatizo hili sana hasa mtu akiwa amevalishwa nguvu za giza na hata akiwa anafanyiwa mazingira ya kuhujumiwa kwa nguvu za kishirikina.

Tiba yake ni kuwa unajipaka mafuta haya Powerful Oil na hii itafukuza nguvu za giza na negative energies zote zitaondoka na utahisi mwepesi na mwenye akili nzuri za kutafakari.
Unajipaka usoni, kifuani na kichwani kila siku mpaka unaposikia umekuwa sawa hasa siku saba utaanza kuwa sawa kwa uwezo wa Mungu uliopo ndani ya mafuta haya na miti iliyotoa mafuta na dawa zilizomo.

Dawa nyingine za kunywa ni hizi:

MT32-Magonjwa mengi mwilini na hasa uchawi wa kuwekwa mwili na jini vikawa vinatembea kwenye mishipa ya damu mpaka unahisi kitu au vitu vinatembea mwilini kwa ndani hasa mgongoni na mabegani kama vijiwe au panya anatembea kwa pozi la aina yake.

SAFISHA-unaharisha uchawi na kuondoa visivyotakiwa kiafya tumboni na hii inasaidia kusafisha utumpo na mishipa muhimu ya kutoka tumboni


Madawa haya yanatokana na mitishamba mbali mbali ya Africa na Mashariki ya Kati na yanatibu magonjwa mengi unayo yajua na yale usiyojua. Madawa haya ni unga umesagwa na ni rahisi kutumia kwenye maji moto au asali na hakuna kemikali yoyote. Powerful oil ni mafuta yenye uwezo mkubwa wa kufukuza na kuzuia nguvu za giza za aina zote.

Ukiwa umepima hospitali na hauponi basi tafuta tiba za kutibu uchawi kuondoka mwilini na kuondoa majini kwa maombi sahihi na madawa ya kunywa na kujipaka ili mashetani yaondoke mara moja kwa uwezo wa Mungu mmoja wa pekee.








Mawasiliano: Upate huduma

+255762053174/+255621870342

Dalili kuu za uchawi na kulogwa kiafya

Uchawi na dalili zake ni:
  • Mfano unaweza kuwa unaota mara kwa mara unalishwa vitu usingizini au unapewa madawa na wakati mwingine unakuta asubuhi umechanjwa chale mwilini au una mikwaruzo.
  • Unaweza kuota unafanya mapenzi na watu au wanyama
  • Unaweza ota unalima na asubuhi unaamka umechoka
  • Unaweza kuhisi mwili wako kuna vtu vinatembea kama siafu au joto lisilo la kawaida sehemu ya viungo
  • Kuhisi ganzi na kichwa upande mmoja kisichopona
  • Macho kushindwa kuona darasani au ofisini lakini ukiwa nje unakuwa sawa
  • Kushindwa tendo la ndoa au kuhisi hupendi kabisa na ukilazimisha unashindwa
  • Kupiga mihayo mingi mara kwa mara bila usingizi au njaa
  • Kuhisi umebeba vitu mgongoni na kuhisi kifua kizito
  • Kuhisi kuna mtu amekusimamia au anakufuata nyuma na ukigeuka huoni mtu huyo
  • Kukata tamaa ya maisha na kuona kila kitu hakiwezekani
  • Kuingia kwenye hedhi bila mpngilio na kwa shida
  • Kutoka damu ya hedhi bila kukoma kwa miezi au damu kupotea na hali huna mimba
  • Kuchukiwa na kila mtu bila sababu hata jamaa na marafiki
  • Kuongea usiku na kupiga kelele
  • Kuota nyoka mara kwa mara na paka hasa weusi
  • Kuota uko msituni mara kwa mara
  • Kuota uko chooni au bafuni au sehemu chafu mara kwa mara
  • Kuota unakojoa mara kwa mara na wakati mwingine unakaribia kukojoa kitandani
  • Kuota watu waliokufa na unaongea jamaa zako marehemu mara kwa mara
  • Kuota uko makaburini mara kwa mara
  • Choo inakuwa ngumu hata kama unakula matunda na unajisaidia mavi kama ya mbuzi kwa taabu na muda wote na hili hali minyoo hauna baada ukipima choo.
  • Kutingishika baadhi ya viungo vya mwili na kuhisi kitu kinatembea tumboni mgongoni au sehemu za mwili
  • Kuota unagombana na kundi la watu kwa vitisho mpaka unatoka jasho
  • Kuhisi woga na moyo kudunda mara kwa mara ghaflaukitoka usingizini au ukiwa peke yako
  • Mipango yote muhimu kuwa inavurugika ikikaribia kuwa sawa
  • Kshindwa kuoa au kuolewa na ukipata mchumba mara mipango inaharibika mwishoni
  • Kuota unakufa na unazikwa
  • Kuwa mzembe na kupenda kulala sana wakati mwingine saa nne ndo unapenda kuamka
  • Bosi kukuchukia bila sababu na ukiongea hataki wala mawazo yake ila ni kukufokea hata ujitahidi kuwa mpole na mchapa kazi wa hali ya juu
  • Kuona mme au mke anayo sura ya ajabu kama ya nguruwe au mbwa na hili hali wengine wanamuona mzuri

Dalili hizo ni za kufanyiwa uchawi au kuwa na majini yanayokusumbua ya kiuchawi


Kuna tatizo hili sana hasa mtu akiwa amevalishwa nguvu za giza na hata akiwa anafanyiwa mazingira ya kuhujumiwa kwa nguvu za kishirikina.

Tiba yake ni kuwa unajipaka mafuta haya Powerful Oil na hii itafukuza nguvu za giza na negative energies zote zitaondoka na utahisi mwepesi na mwenye akili nzuri za kutafakari.
Unajipaka usoni, kifuani na kichwani kila siku mpaka unaposikia umekuwa sawa hasa siku saba utaanza kuwa sawa kwa uwezo wa Mungu uliopo ndani ya mafuta haya na miti iliyotoa mafuta na dawa zilizomo.

Dawa nyingine za kunywa ni hizi:

MT32-Magonjwa mengi mwilini na hasa uchawi wa kuwekwa mwili na jini vikawa vinatembea kwenye mishipa ya damu mpaka unahisi kitu au vitu vinatembea mwilini kwa ndani hasa mgongoni na mabegani kama vijiwe au panya anatembea kwa pozi la aina yake.

SAFISHA-unaharisha uchawi na kuondoa visivyotakiwa kiafya tumboni na hii inasaidia kusafisha utumpo na mishipa muhimu ya kutoka tumboni


Madawa haya yanatokana na mitishamba mbali mbali ya Africa na Mashariki ya Kati na yanatibu magonjwa mengi unayo yajua na yale usiyojua. Madawa haya ni unga umesagwa na ni rahisi kutumia kwenye maji moto au asali na hakuna kemikali yoyote. Powerful oil ni mafuta yenye uwezo mkubwa wa kufukuza na kuzuia nguvu za giza za aina zote.


ka mtumwa wa mganga na mashetani/majini pekee au majini na wachawi.

Ukiwa umepima hospitali na hauponi basi tafuta tiba za kutibu uchawi kuondoka mwilini na kuondoa majini kwa maombi sahihi na madawa ya kunywa na kujipaka ili mashetani yaondoke mara moja kwa uwezo wa Mungu mmoja wa pekee.










Mawasiliano: Upate huduma

+255762053174/+255621870342

Friday, September 20, 2019

Uchawi

Ukisema nimelogwa watu wengine wanakwambia ni imani potovu!
Unaweza kulogwa na ukateseka kwa kiwango cha juu, watu wanaangaika na maisha ila kuna baadhi wanaangaika na wewe.
Ukiona mtu anakuchukia bila sababu basi tambua kwamba anaweza hata kukulogwa au kwenda kwa waganga wakakuloga.

Kumbuka uchawi ni jambo baya na hili halina mjadala kijamii, kidini na kisheria.

Uchawi unaweza uguza mtu mpaka akafa au kuwa kichaa au watu kumchukia bila sababu!

Dalili za uchawi baadhi ni hizi hapa:

  • Kuota unafanya mapenzi mara kwa mara
  • Kujihisi umekata tamaa na unafikiri kila kitu hakiwezekani
  • Ugomvi na familia kila mara
  • Watu kukuchukia bila sababu
  • Ndoto za wanyama na nyoka
  • Kuota unakojoa au unajisadia
  • Kuandamwa na majanga kimaisha mpaka wakase unayo nikosi
  • Kuota unazaa na unawalea watoto
  • Kukosa choo bila sababu za kisayansi 
  • Kuchoka mwili kama umepigwa na kuhisi kila sehemu maumivu
  • Kukosa hamu ya tendo la ndoa
  • Kuchukia mke au mume bila sababu, kila akiingia ndani unahisi hasira
  • Kunyolewa nywele au kucha kukatwa
  • Nguo zako kupotea potea ndani
  • Kukosa marafiki hata kama una tabia nzuri
  • Kuchukiwa na watu wa karibu na marafiki kila mara
  • Kuahirisha mambo mpaka unazeeka
Uchawi unatibika kwa uwezo wa Mungu muumba.
Kuna dawa unazitumia za kunywa, kupaka, kujifukiza na kuoga ili uharibu kabisa mahusiano yaliyopo kwenye mwili wako na uchawi kupitia ushirikiano wa majini na wachawi.


Mawasiliano: Upate huduma

+255762053174/+255621870342



Saturday, August 1, 2015

wachawi wanaongezeka kwa sababu ya wachawi kuanza kufundisha wazi wazi kuanzia Afrika hadi Ulaya

Kutokana na kushamiri kwa ushirikina na vitendo vya kutisha ambapo wanadamu wanatumia kila njia kuwadhuru wenzao kwa sababu kama husuda, tamaa, wivu, roho mbaya na sababu nyingine zisizojulikana kwa waathiriwa.

Shetani Rucifer / Azzazil amepata kundi la watu na kila siku wanamfuata kumtii ili awape nguvu za kishetani kupitia majini, mapepo na mizimu. 

 PATA POWERFUL SOAP UWE UNAOGA UTAONA MATOKEO MAKUBWA KIAFYA NA KIMAISHA KWANI IMETENGENEZWA KWA KUTUMIA MADAWA NA MAFUTA MAALUM YA KUONDOA ATHARI ZA KIUCHAWI NA NGUVU ZOTE ZA GIZA ZINAZOONGEZEKA KILA SIKU. WEWE NI KUOGA TU KILA SIKU NA UTAPATA MATOKEO MAZURI KIAFYA NA NGUVU MPYA NA MORI VITAPATIKANA KWA UWEZO WA MUNGU WA PEKEE ALIYEUMBA KILA KITU.

Wachawi wanawaloga watu kama kuwatumia majini na kuwatega madawa kwa msaada wa majini au mashetani yenye mkataba na mchawi kiasi kwamba mtu anaweza kupata matatizo ya kiuchawi kama haya:
  • Kukata tamaa kimaisha na kuamua kukaa kijiweni
  • Kuota analishwa vitu mara kwa mara na asubuhi mchovu sana
  • Kuota umelala na mwanamke au mme mara kwa mara
  • Kuota unaingiliwa na wanyama au umelala na wanyama 
  • Kuota nyoka kila mara 
  • Kuota unakufa mara kwa mara 
  • Kuota watu waliokufa mara kwa mara na unaongea nao
  • Kutoka hedhi bila kukoma kwa mwanamke
  • Kuhisi vitu vinatembea mwilini
  • Kuota unabeba mimba na kujifungua na kunyonyesha watoto  mara kwa mara
  • Kusikia kitu kinajitingisha tumboni mara nyingi na huku hauna mimba au ni mwanaume wewe
  • Kuwaka miguu moto
  • Kuwa na ganzi baadhi ya viungo kama miguu, mikono, n.k
  • Kuchoka bila kufanya kazi na ukipima malaria au typhoid huoni kitu kwa vipimo
  • Kuchukiwa na kila mtu hadi jamaa zako kama mama, baba, mke au mme,bosi, wateja, nk
  • Kukosa wateja kwenye biashara yako na unauza bei nzuri na unaongea vizuri na wateja
  • Kuwa katika kundi la watu na mara unashutumiwa ghafla bila kosa au bila sababu ya wazi
  • Kumuona mke au mme anayo sura mbaya kama ya mnyama mbwa au nguruwe na wakati wengine wanamuona mzuri
  • Kuhisi woga na moyo kwenda mbiyo kila mara bila sababu iliyo wazi
  • Wazazi na watoto kutopendana bila sababu yoyote
  • Bosi wako kukuchukia na kukuona hufai na mara kwa mara wewe ndo hufai na anakufokea mbele ya wenzako bila huruma hata kama ni mchapazi sana na ni muadilifu
  • Kukabiliwa na matatizo mara kwa mara pindi upatapo pesa au wakati wa msimu na pesa ikiisha mambo yanakuwa shwari
  • Kuchukia kazi bila sababu na kutamani kulala sana hata wakati wa kazi 
  • Kupenda kukaa sehemu chafu na kupita sehemu chafu hata kama sehemu safi zipo
  • Kuhisi umebeba vitu mgongoni au kwapani
  • Kuumwa kichwa upande mmoja
  • Kukosa choo na kupata choo kama cha mbuzi kwa tabu hata kama unakunywa maji na kula matunda kwa wingi
  • Kupenda kukaa peke yako na wakati mwingine kujificha watu bila tatizo lolote
  • Kupenda kukaa gizani mara nyingi hata kama hakuna ulazima unaona mwanga ni kero kwako
  • Kupiga miayo mingi mara kwa mara hata kama umeshiba na huna usingizi
  • Kuwa na hasira bila sababu na kuhisi umenigwa kwa hasira
  • Kupenda maasi kama kuzini na kila mtu, ulevi, bangi, ugomvi, n.k kila mara na mpaka watu wanakushangaa
  • Kupata elimu na usipate matumizi nayo na kila siku unazidi kudidimia na kutofaa pamoja na elimu yako
  • Ajali za mara kwa mara na kuponea chupu chupu katika ajali hizo
  • Kuota unanigwa na unalia au kupiga kelele mpaka majirani wanaamka
  • Kuota uko msituni na watu mara kwa mara
  • Kuota unapaa na wakati mwingine uko makaburini
  • Kuota uko chooni na unajisaidia au unakojoa ndotoni mara kwa mara
  • Kuota unagombana na watu mara kwa mara
  • Kutotulia sehemu moja na kuona kila sehemu hapafai kuishi na mwishowe unapenda ukae sehemu mbali na familia yako
  • Kutopenda kurudi nyumbani hata kuwaona na hata ukiwa na hali nzuri kimaisha
  • Kuhama mji na kuishi maisha magumu na kutotamani kurudi nyumbani na kuhisi woga kila ukipanga kurudi nyumbani kuwaona jamaa na ndugu
  • Pesa yako kuisha bila kujua au kimaajabu
  • Pesa kupotea kiasi mara mara unapoiweka dukani
  • Mali kuisha dukani lakini pesa haionekani na ulichofanya hakionekani na wala hauongi wanawake au wanaume
  • Nyumba yako kuwa na mwanga usiku bila kuwasha taa na kuhisi kuna watu wanafungua milango
  • Kusikia vitu mabatini vinagonga au hodi za sauti usiku na ukiangalia hauoni mtu
  • Kuchanjwa chale au mikwaruzo usiku umelala wewe au watoto
  • Watoto kulia sana usiku na ukiwasha taa wananyamaza
  • Kuhisi mikono inalegea kufanya kazi na kuandika inakuwa mizito
  • Kuona mapicha ya viumbe vya kutisha hata kama hujalala 
  • Kuhisi moto kwenye nyayo na kichwani utosini na ukipima huoni malaria wala magonjwa mengine
  • Kutoona wakati wa kazi na ukiwa nje ya kazi unaona vizuri
  • Kutoona darasani na ukiwa nje ya darasa unaona
  • Kuchukia tendo la ndoa bila sababu
  • Kukosa nguvu za tendo la ndoa na kuwa na uume legevu pindi unapotaka kumuingilia mke wako
  • Kukauka ukeni kwa mwanamke mpaka mwanaume anachubuka na mke anatoka damu
  • Kutoa harufu chafu ukeni bila ugonjwa wala si mchafu ila unanawa na huna ugonjwa wa zinaa wowote
  • Kustawisha mazao lakini mavuno hayatoki kama ilivyoonekana kustawi na ukubwa wa shamba ulivyo, wenzako wanavuna sana na shamba kidogo.
  • Watoto kuzidi ukorofi na udokozi bila sababu ya msingi na kutopenda shule ghafla na hali wana akili darasani.
  • Ngombe kukosa maziwa bila sababu na mashudu, chakula, maji unampa
  • Kuhisi kujiua na kuchanganyikiwa
  • Kuvimba sehemu za mwili na sababu au chanzo hospitali hawakioni
  • Kuamka asubuhi umeteguka mguu au mikono imeteguka sehemu fulani
  • Kuumwa nyonga ukikaa kwenye kiti ofisini
  • Mgongo kuumwa bila sababu unapokaa ofisini na miguu kuwaka moto na ukiwa nyumbani au pengine unajisikia vizuri
  • Ugomvi na mke. mama, baba hauishi wala kupungua na sababu za msingi hazipo
  • Kuwa mwoga bila sababu na uko nyuma ulikuwa unajiamini
  • Kuota mambo ya kweli na ya katokea na wewe si mcha Mungu wa kiasi hicho
  • Wateja wako kukuhama bila sababu na wewe mali imejaa na ni nzuri 
  • Ukichaa wa kichawi kama kuongea na mizimu na majini kuwa yanapanda ghafla 
  • Kukosa mchumba na hata ukimpata harudi tena au hakutaki pindi tu mnapokaribia kuoana
  • Kusahau mambo ya maana na hata kama siyo mgonjwa wala mzee sana
  • Kupenda sana miziki na maigizo muda wote unajisikia raha kusikiliza mziki na kutofanya ibada wewe unajisikia vizuri na mzito kusali na kusoma vitabu vya dini.
  • Kusikiliza mahubiri unasinzia au hotuba ya ijumaa au mafunzo ya dini unapata usingizi mzito lakini mambo mengine ya siasa na kuigiza hupati usingizi kamwe
  •  Kubanwa mbavu na kifua kuwa kizito ghafla na ukipima huoni ugonjwa na hii inatokea mara kwa mara
  • Kifafa cha uchawi na dalili yake ni kuona vitu vya ajabu kisha kuzimia na kurusha miguu na mengine ya ajabu
  • Kutembea kitu kama panya mwilini 
  • Baadhi ya viungo vya mwili kucheza cheza bila wewe kuvitingisha
  • Kukuta nyoka weusi nyumbani wamekufa au wakiwa hai mara kwa mara na ghafla wanapotea
  • Paka weusi kuwaota na wakati mwingine kuwaona nyumbani na kupotea ghafla
  • Kuitwa jina lako usiku na mtu anayekuita humuoni, wakati mwingine unaitwa mchana
  • Kukuta mara kwa mara kinyeshi mlangoni au mazingira yako unayoishi
  • Kuumwa njaa mara tu baada ya kula na ukila hushibi hata wat wako na ukipima minyoo hakuna
  • Kutopenda kuacha sigara hata kama zinakudhuru kiafya unapenda kila mara uvute sigara hata ukiwa chooni
  • Ukipanga mipango mizuri unaahirisha mara nyingi tu mpaka inapita miaka na hufanyi tena ila unajilaumu mwenyewe

Mawasiliano: Upate huduma

+255762053174/+255621870342