Search This Blog

Tuesday, June 16, 2020

Uchawi ni dhambi katika uislam

Usiloge wala kujifunza uchawi, uchawi ni kosa na hukumu ni kuuawa katika mafunzo ya dini za Kiislam na Kikristo kwani watu wengi wanasumbuliwa na wachawi na chanzo ni husuda na kulipiza.

Mungu anasema Wachawi waliitwa na Faraho wa misri enzi za Mtume Musa, Musa alipotumia uwezo wa Mungu wao walidhani ni uchawi na wakataka kuonyesha uchawi wao kwa Musa, Musa kwa kutumia uwezo wa Mungu aliwashinda na baadhi yao wakasujudu na kuamini Mungu wa Musa na Harun,

Habari utazipata katika Qur'an na Biblia na mpaka leo wachawi wapo, ukijihisi umelogwa kwa dalili hizi kukutokea:

Kuchanjwa usingizini
Kuota ndoto za ajabu na za kutisha
Kuumwa maradhi yasiyoeleweka hata kwa vipimo vya Hoaspitali
Kuchoka kila siku ukiamuka asubuhi na huna malaria kamwe
Kukata tamaa ya maisha na kila mtu kukuchukia
Kama ni mwanamke hupendi kuolewa au unakosa wa kukuoa na kila akija mchumba anaacha muda mfupi tu
Kuota unafanya mapenzi na watu usiku au wanyama
Kuota unajisaidia sehemu au chooni au sehemu chafu
Kuhisi unaitwa jina lako

Ukiwa na dalili mojawapo basi kuna uchawi unaendelea dhidi yako na unaweza kuomba sana Mungu mmoja wa pekee na wakati huo unapata tiba na kutumia dawa zifuatazo:

  1. Powerful soap
  2. Powerful Oil
  3. Safisha
  4. Mt32
  5. Peace Oil

Uchawi upo kwa asilimia 100

uchawi upo kila sehemu na wala usiogope kwani ukimuamini Mungu muumba kwa uhakika unaushinda kwa uwezo wake.

Ukihisi kuogwa na dalili kama kuchanjwa usiku umelala, kukwaruza mikwaruzo umelala, kuota unalishwa vitu au nyama, kuota nyoka weusi na mbwa mara kwa mara usingizini basi jua kuwa umelogwa na unawezekana hata jini umetupiwa unaishi nalo.

Kuna mambo mengi hatuyaoni kwa macho ila yapo, kama mawimbi ya mitandao ya simu, mawimbi ya TV, Radio, Uhai na maisha baada ya kufa tutaona mengi zaidi ya haya.

Malaria huwezi ukaiona bila Microscope lakini tunaweza tukapata dalili za malaria kama viungo vya mwili kuumwa na kulegea, homa kali na kichwa.
Dalili zinatupa taarifa kuwa mwili wetu unaweza kuwa una malaria ila tunahakikisha kwa kupima malaria kwenye maabara.

Uchawi unazo dalili nyingi ila watu wanasema mimi nina bahati mbaya au nina kisilani au kuna mkono wa mtu na mfano wa kama hayo.

Kwa hiyo la msingi na muhimu ukijihisi hauko sawa nenda kwanza kapime afya na ukikuta ugonjwa mwilini basi anza dozi sahihi, ikiwa hakuna walichokiona basi jaribu kutumia dawa za asili zikiwemo za tiba nyingi ikiwemo hata uchawi.

Dawa hizi ni muhimu kwa mtu mwenye dalili za kuhisi maumivu na miguu kuwaka moto, kuota ndoto mbaya, kuhisi vitu mwilini vinatembea mwilini na kujihisi mwoga na moyo kuhisi sindano.
Kukosa upendo kwa watu bila sababu na kuchukiwa bila sababu na watu wengi.

  1. Powerful soap
  2. Powerful oil
  3. Safisha
  4. Mt32
  5. Peace Oil
  6. Super MT

Mawasiliano: Upate huduma

+255762053174/+255621870342

Email: tibaherbs@gmail.com