Search This Blog

Friday, February 3, 2012

Jaalab Enterprises

Kampuni hii inafanya kazi mbali mbali kama  kusambaza vifaa vya shule vya maabara, vitabu, n.k pia inajenga mashule na maabara na kwa ujumla kazi zote za ujenzi. Wameisha fanya miradi mingi ya ujenzi Dar es Salaam, Kagera na kwingineko nchini Tanzania.

Mkurugenzi Mkuu Bwana Abdu Rafiu Jaffar Bwanika amesimamia miradi ya shule, maabara na makazi ya Taasisi mbali mbali. Kwa mawasiliano unaweza ukatembela ofisi zao Bukoba na Dar es Salaam.

Vifaa vya maabara kwa bei nafuu na kushauriwa kiutaalamu, pia kompyuta za shule kwa bei nafuu tutakuletea shuleni au chuoni



Mawasiliano: Upate huduma

+255762053174/+255621870342