Mkurugenzi Mkuu Bwana Abdu Rafiu Jaffar Bwanika amesimamia miradi ya shule, maabara na makazi ya Taasisi mbali mbali. Kwa mawasiliano unaweza ukatembela ofisi zao Bukoba na Dar es Salaam.
Vifaa vya maabara kwa bei nafuu na kushauriwa kiutaalamu, pia kompyuta za shule kwa bei nafuu tutakuletea shuleni au chuoni
Mawasiliano: Upate huduma