Search This Blog

Saturday, August 1, 2015

Ondoa Mikosi, Nuksi na Uchawi wa wenye kuleta hayo Kwa kuoga sabuni na kujipaka mafuta haya

Kutokana na kushamiri kwa ushirikina na vitendo vya kutisha ambapo wanadamu wanatumia kila njia kuwadhuru wenzao kwa sababu kama husuda, tamaa, wivu, roho mbaya na sababu nyingine zisizojulikana kwa waathiriwa.

Shetani Rucifer / Azzazil amepata kundi la watu na kila siku wanamfuata kumtii ili awape nguvu za kishetani kupitia majini, mapepo na mizimu. 

 PATA POWERFUL SOAP UWE UNAOGA UTAONA MATOKEO MAKUBWA KIAFYA NA KIMAISHA KWANI IMETENGENEZWA KWA KUTUMIA MADAWA NA MAFUTA MAALUM YA KUONDOA ATHARI ZA KIUCHAWI NA NGUVU ZOTE ZA GIZA ZINAZOONGEZEKA KILA SIKU. WEWE NI KUOGA TU KILA SIKU NA UTAPATA MATOKEO MAZURI KIAFYA NA NGUVU MPYA NA MORI VITAPATIKANA KWA UWEZO WA MUNGU WA PEKEE ALIYEUMBA KILA KITU.

Wachawi wanawaloga watu kama kuwatumia majini na kuwatega madawa kwa msaada wa majini au mashetani yenye mkataba na mchawi kiasi kwamba mtu anaweza kupata matatizo ya kiuchawi kama haya:
  • Kukata tamaa kimaisha na kuamua kukaa kijiweni
  • Kuota analishwa vitu mara kwa mara na asubuhi mchovu sana
  • Kuota umelala na mwanamke au mme mara kwa mara
  • Kuota unaingiliwa na wanyama au umelala na wanyama 
  • Kuota nyoka kila mara 
  • Kuota unakufa mara kwa mara 
  • Kuota watu waliokufa mara kwa mara na unaongea nao
  • Kutoka hedhi bila kukoma kwa mwanamke
  • Kuhisi vitu vinatembea mwilini
  • Kuota unabeba mimba na kujifungua na kunyonyesha watoto  mara kwa mara
  • Kusikia kitu kinajitingisha tumboni mara nyingi na huku hauna mimba au ni mwanaume wewe
  • Kuwaka miguu moto
  • Kuwa na ganzi baadhi ya viungo kama miguu, mikono, n.k
  • Kuchoka bila kufanya kazi na ukipima malaria au typhoid huoni kitu kwa vipimo
  • Kuchukiwa na kila mtu hadi jamaa zako kama mama, baba, mke au mme,bosi, wateja, nk
  • Kukosa wateja kwenye biashara yako na unauza bei nzuri na unaongea vizuri na wateja
  • Kuwa katika kundi la watu na mara unashutumiwa ghafla bila kosa au bila sababu ya wazi
  • Kumuona mke au mme anayo sura mbaya kama ya mnyama mbwa au nguruwe na wakati wengine wanamuona mzuri
  • Kuhisi woga na moyo kwenda mbiyo kila mara bila sababu iliyo wazi
  • Wazazi na watoto kutopendana bila sababu yoyote
  • Bosi wako kukuchukia na kukuona hufai na mara kwa mara wewe ndo hufai na anakufokea mbele ya wenzako bila huruma hata kama ni mchapazi sana na ni muadilifu
  • Kukabiliwa na matatizo mara kwa mara pindi upatapo pesa au wakati wa msimu na pesa ikiisha mambo yanakuwa shwari
  • Kuchukia kazi bila sababu na kutamani kulala sana hata wakati wa kazi 
  • Kupenda kukaa sehemu chafu na kupita sehemu chafu hata kama sehemu safi zipo
  • Kuhisi umebeba vitu mgongoni au kwapani
  • Kuumwa kichwa upande mmoja
  • Kukosa choo na kupata choo kama cha mbuzi kwa tabu hata kama unakunywa maji na kula matunda kwa wingi
  • Kupenda kukaa peke yako na wakati mwingine kujificha watu bila tatizo lolote
  • Kupenda kukaa gizani mara nyingi hata kama hakuna ulazima unaona mwanga ni kero kwako
  • Kupiga miayo mingi mara kwa mara hata kama umeshiba na huna usingizi
  • Kuwa na hasira bila sababu na kuhisi umenigwa kwa hasira
  • Kupenda maasi kama kuzini na kila mtu, ulevi, bangi, ugomvi, n.k kila mara na mpaka watu wanakushangaa
  • Kupata elimu na usipate matumizi nayo na kila siku unazidi kudidimia na kutofaa pamoja na elimu yako
  • Ajali za mara kwa mara na kuponea chupu chupu katika ajali hizo
  • Kuota unanigwa na unalia au kupiga kelele mpaka majirani wanaamka
  • Kuota uko msituni na watu mara kwa mara
  • Kuota unapaa na wakati mwingine uko makaburini
  • Kuota uko chooni na unajisaidia au unakojoa ndotoni mara kwa mara
  • Kuota unagombana na watu mara kwa mara
  • Kutotulia sehemu moja na kuona kila sehemu hapafai kuishi na mwishowe unapenda ukae sehemu mbali na familia yako
  • Kutopenda kurudi nyumbani hata kuwaona na hata ukiwa na hali nzuri kimaisha
  • Kuhama mji na kuishi maisha magumu na kutotamani kurudi nyumbani na kuhisi woga kila ukipanga kurudi nyumbani kuwaona jamaa na ndugu
  • Pesa yako kuisha bila kujua au kimaajabu
  • Pesa kupotea kiasi mara mara unapoiweka dukani
  • Mali kuisha dukani lakini pesa haionekani na ulichofanya hakionekani na wala hauongi wanawake au wanaume
  • Nyumba yako kuwa na mwanga usiku bila kuwasha taa na kuhisi kuna watu wanafungua milango
  • Kusikia vitu mabatini vinagonga au hodi za sauti usiku na ukiangalia hauoni mtu
  • Kuchanjwa chale au mikwaruzo usiku umelala wewe au watoto
  • Watoto kulia sana usiku na ukiwasha taa wananyamaza
  • Kuhisi mikono inalegea kufanya kazi na kuandika inakuwa mizito
  • Kuona mapicha ya viumbe vya kutisha hata kama hujalala 
  • Kuhisi moto kwenye nyayo na kichwani utosini na ukipima huoni malaria wala magonjwa mengine
  • Kutoona wakati wa kazi na ukiwa nje ya kazi unaona vizuri
  • Kutoona darasani na ukiwa nje ya darasa unaona
  • Kuchukia tendo la ndoa bila sababu
  • Kukosa nguvu za tendo la ndoa na kuwa na uume legevu pindi unapotaka kumuingilia mke wako
  • Kukauka ukeni kwa mwanamke mpaka mwanaume anachubuka na mke anatoka damu
  • Kutoa harufu chafu ukeni bila ugonjwa wala si mchafu ila unanawa na huna ugonjwa wa zinaa wowote
  • Kustawisha mazao lakini mavuno hayatoki kama ilivyoonekana kustawi na ukubwa wa shamba ulivyo, wenzako wanavuna sana na shamba kidogo.
  • Watoto kuzidi ukorofi na udokozi bila sababu ya msingi na kutopenda shule ghafla na hali wana akili darasani.
  • Ngombe kukosa maziwa bila sababu na mashudu, chakula, maji unampa
  • Kuhisi kujiua na kuchanganyikiwa
  • Kuvimba sehemu za mwili na sababu au chanzo hospitali hawakioni
  • Kuamka asubuhi umeteguka mguu au mikono imeteguka sehemu fulani
  • Kuumwa nyonga ukikaa kwenye kiti ofisini
  • Mgongo kuumwa bila sababu unapokaa ofisini na miguu kuwaka moto na ukiwa nyumbani au pengine unajisikia vizuri
  • Ugomvi na mke. mama, baba hauishi wala kupungua na sababu za msingi hazipo
  • Kuwa mwoga bila sababu na uko nyuma ulikuwa unajiamini
  • Kuota mambo ya kweli na ya katokea na wewe si mcha Mungu wa kiasi hicho
  • Wateja wako kukuhama bila sababu na wewe mali imejaa na ni nzuri 
  • Ukichaa wa kichawi kama kuongea na mizimu na majini kuwa yanapanda ghafla 
  • Kukosa mchumba na hata ukimpata harudi tena au hakutaki pindi tu mnapokaribia kuoana
  • Kusahau mambo ya maana na hata kama siyo mgonjwa wala mzee sana
  • Kupenda sana miziki na maigizo muda wote unajisikia raha kusikiliza mziki na kutofanya ibada wewe unajisikia vizuri na mzito kusali na kusoma vitabu vya dini.
  • Kusikiliza mahubiri unasinzia au hotuba ya ijumaa au mafunzo ya dini unapata usingizi mzito lakini mambo mengine ya siasa na kuigiza hupati usingizi kamwe
  •  Kubanwa mbavu na kifua kuwa kizito ghafla na ukipima huoni ugonjwa na hii inatokea mara kwa mara
  • Kifafa cha uchawi na dalili yake ni kuona vitu vya ajabu kisha kuzimia na kurusha miguu na mengine ya ajabu
  • Kutembea kitu kama panya mwilini 
  • Baadhi ya viungo vya mwili kucheza cheza bila wewe kuvitingisha
  • Kukuta nyoka weusi nyumbani wamekufa au wakiwa hai mara kwa mara na ghafla wanapotea
  • Paka weusi kuwaota na wakati mwingine kuwaona nyumbani na kupotea ghafla
  • Kuitwa jina lako usiku na mtu anayekuita humuoni, wakati mwingine unaitwa mchana
  • Kukuta mara kwa mara kinyeshi mlangoni au mazingira yako unayoishi
  • Kuumwa njaa mara tu baada ya kula na ukila hushibi hata wat wako na ukipima minyoo hakuna
  • Kutopenda kuacha sigara hata kama zinakudhuru kiafya unapenda kila mara uvute sigara hata ukiwa chooni
  • Ukipanga mipango mizuri unaahirisha mara nyingi tu mpaka inapita miaka na hufanyi tena ila unajilaumu mwenyewe

 

TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM.


Mawasiliano: Upate huduma

+255762053174/+255621870342

Email: tibaherbs@gmail.com

3 comments:

  1. Niko Nairobi. Nitapataje usaidizi ?

    ReplyDelete
  2. 🌹 Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu

    Nataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.

    Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete
  3. Ushuhuda

    Nilivunjika moyo kabisa uhusiano wangu ulipoisha. Niliamini kweli kwamba nilikuwa nimepoteza mpenzi wa maisha yangu milele. Kisha nikampata Dkt. Dawn, na kila kitu kikabadilika.
    Kwa wema, hekima, na mwongozo wenye nguvu, alirudisha upendo niliodhani ulikuwa umetoweka. Leo, tuna furaha zaidi kuliko hapo awali!
    Dkt. Dawn aligeuza machozi yangu kuwa furaha kweli.

    Dkt. Dawn Anaweza Kukusaidia Kwa:

    ✅ Uchawi wa Mapenzi
    ✅ Uchawi wa Mimba
    ✅ Kurejesha Ndoa / Uhusiano
    ✅ Tiba za Mimea kwa VVU, Ugonjwa wa Figo, Matatizo ya Moyo, Maambukizi, na zaidi

    📧 Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com
    📞 Simu/WhatsApp: +2349046229159

    Usiteseke kimya kimya. Dkt. Dawn anaweza kurudisha furaha maishani mwako!

    ReplyDelete